Nakala

1


بسم الله الرحمن الرحيم


MAONI YA BAADHI YA MAIMAMU KUHUSU MASHIA NA ITIKADI POTOFU. Imekusanywa na kuiratibiwa na Abubakari Shabani Rukonkwa Imepiriwa na Yasini Twaha Kila sifa kamilifu nizake Allah mtukufu alie tuumba na kuruleta katika dunia hii kasha akatuletea muongozo sahihi wa Quraan na Sunna,amefaulu atakae fuata muongozo huo wa Quraan na sunna,sala na amani za Allah ziwe juu ya Mtume Muhamad na Ali zake na maswahaba zake watukufu. 1- IMAAM ASH-SHAAFI'IY Imam Shafi’iy alisema siku moja kuhusu Mashia, ‘Sijawahi kuona miongoni mwa makafiri watu wanaojulikana kwa kusema uongo kuliko Mashia.’ [Minhaaj as-Sunnah an-Nabawiyyah, 1/39] Wakati mwingine alisema, ‘Simulia elimu kutoka kwa yeyote yule utakayekutana naye isipokuwa Mashia, kwani wao hutunga Hadyith na kuzifanya sehemu ya Dini yao.’ [Minhaaj as-Sunnah an-Nabawiyyah, 1/38]. 2- IMAAM ABU HANIYFAH Imesimuliwa kuwa Imaam Abu Haniyfah alikuwa akikariri kauli ifuatayo kuhusu Mashia, ‘Yeyote mwenye mashaka kuhusu ukafiri wao basi nae pia ni kafiri.’ 3- IMAAM MAALIK


2


Siku moja Imaam Maalik aliulizwa kuhusu wao (Mashia)


akajibu, ‘Usiongee nao wala kupokea hadithi zao, kwani hapana


shaka wao ni waongo.’ [Minhaaj as-Sunnah, 1/37] Ilitajwa


katika darsa yake kuwa Mashia wanawatukana Maswahaba.


Katika kujibu akataja ayah: ‘‘Muhammad ni Mtumwa wa Allaah


na waliokuwa naye ni wakali dhidi ya makafiri na wenye


kurehemeana wenyewe kwa wenyewe. Ili kuwachukiza


makafiri…’’ Kisha akasema, ‘Basi yeyote anayebughudhiwa


wakati Maswahaba wanapotajwa basi na yeye kakusudiwa pia


na ayah hii.’ (Yaani yeyote anayechukizwa kwa kutajwa


Maswahaba basi amekusudiwa katika Aayah hii kwa sababu


Allaah Anasema, ‘‘Ili kuwachukiza makafiri…’’)


4- IMAAM IBN AL-MUBAARAK


Imaam Ibnul Mubaarak amesimuliwa akisema, ‘Dini hupatikana


kwa Watu wa Hadiyth (Ahlul Hadiyth), falsafa na udhuru wa


kijanjajanja unapatikana kwa watu wa rai (Ahlur Rai ) na uongo


unapatikana kwa Mashia.’ [Al-Muntaqaa min Minhaaj al-


I`tidaal, uk. 48]


5-IMAAM ABU ZUR’AH RAAZI


Mwanachuoni huyu mkubwa amenukuliwa akisema, ‘Ukimuona


mtu yeyote anayewadharau Maswahaba, basi jua ya kuwa yeye


ni kafiri. Hiyo ni kwa sababu Mtume Swalla Allaahu ‘alayhi wa


aalihi wa sallam. alikuwa mkweli na alituletea ukweli ambao


umetufikia kwa njia ya Maswahaba. Hao makafiri (Mashia)


lengo lao ni kutia shaka katika wasimulizi wa ukweli huo


(Maswahaba) ili kutia shaka pia katika Qur-aan na Sunnah. Basi


3


makafiri ndio wanaostahiki zaidi kudharauliwa.’


6- IMAAM AL-QAADHIY ABU YA’ALAA


Imesimuliwa kuwa Imaam Abu Ya’alaa alisema, ‘Msimamo wa


Wanachuoni wa Fiqhi kuhusu mtu anayewalaani Maswahaba,


ilhali akiamini kuwa kufanya hivyo inajuzu, ni kwamba


amekufuru. Kama anawalaani ilhali akiamini kuwa kufanya


hivyo haijuzu, basi atakuwa ametenda kosa la ufasiki, na sio


kosa la ukafiri.’ [As-Swaarim al-Masluul, uk. 569].


7- IMAAM ATW-TWAHAAWIY


Katika kitabu chake kuhusu itikadi za Uislamu, al-`Aqiydah


atw-Twahaawiyyah, anasema, ‘Tunawapenda Maswahaba wa


Mtume Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam bila kupituka


mipaka katika mapenzi yao au kujiweka mbali na yeyote katika


wao. Tunawachukia wale wanaowachukia na hatusemi ila kheri


kuhusu wao (Maswahaba). Kuwapenda ni kitendo cha kidini, na


dalili ya Imani na ucha Mungu na (kwa upande mwingine)


kuwachukia ni kitendo cha ukafiri, unafiki na ufasiki.’ [Sharhul-


`Aqiydah atw-Twahaawiyyah, uk. 528]


IMAAM IBN HAZM AL-ANDALUSIY


Siku moja, wakati wa utawala wa Waislamu katika nchi ya


Hispania Imaam Abu Muhammad Ibn Hazm alikuwa


akijadiliana na Mapadri Wahispania wa Kikatholiki kuhusu


baadhi ya maandiko ya dini yao. Aliwaletea dalili na hoja


kuhusu kubadilishwa sehemu nyingi katika Biblia na kupotea


kwa maandiko ya asili. Walipomjibu kwamba Mashia pia


4


wanadai kuwa Qur-aan ilibadilishwa na hii tuliyonayo sio ile ya


asili, akajibu, ‘Mashia hawawezi kutumiwa kama hoja dhidi ya


Qur-aan na Waislamu kwani wao wenyewe si Waislamu.’ [Ibn


Hazm, al-Fiswaal fiy al-Milal wa an-Nihal, 2/78 na 4/182]


Madai hayo yao (Mashia) yamejibiwa na wanachuoni wengine


wengi wa zamani kama Ibn Taymiyah katika Minhaaj us


Sunnah, adh-Dhahabiy katika Muntaqaa min Minhaaj al-I`tidaal,


Ibn Kathiyr katika kitabu chake mashuhuri cha historia Al-


Bidaayah wan-Nihaayah, Ibn al Jawziy katika Talbiys Ibliys, na


al-Qaadhiy Ibn al-‘Arabiy katika al-`Awwaasim min al-


Qawaasim]


8-IMAAM AL-ALUUSIY


Mwanachuoni huyu aliwatangaza Mashia kuwa ni makafiri kwa


sababu ya kutukana kwao Maswahaba. Msimamo wake ulikuwa


umechukuliwa kutoka kwenye kauli za Imaam Maalik na


wanachuoni wengine waliokuwa wakiwafikiana nae katika suala


hilo.


Kuhusu madai yao kuwa wao ni katika Ahlul Bayt (familia ya


Mtume Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) alisema,


‘Hapana, ukweli ni kwamba wao (Mashia) ni wafuasi wa


Shaytwaan, na Ahlul Bayt hawana uhusiano wowote na wao


(Mashia).


Mwisho:Mashia nimadhehebu machafu na niwaovu kushinda


makaviri imani ya kishia niimani potovu na niimani ya kikafiri.


tumuombe Allah atuepushe na imani za kishia na upotevu


wao,atufishe tukiwa wafuasi wa Mtume Rehma na amani za


Allah ziwe juu yake.



Machapisho ya hivi karibuni

UJUMBE KUTOKA KWA MUH ...

UJUMBE KUTOKA KWA MUHUBIRI MUISLAMU KWA MKRISTO

FADHILA YA KUFUNGA SI ...

FADHILA YA KUFUNGA SIKU SITA ZA SHAWAL

Masuala kumi muhimu n ...

Masuala kumi muhimu na mafupi kuhusu mwezi wa Muharram

UJUMBE KWA ALIYEICHOM ...

UJUMBE KWA ALIYEICHOMA KURANI