Nakala




(Ni kutokana na kitabu:


Vipi unaweza kuingia katika dini ya kiislamu?)


ألف باء الإسلام


)عن كتاب: كيف تدخل في الإسلام؟ (


باللغة السواحيلي ة


Mutungaji: Doctor:muhamad sulaiman al ashkar


Imani ya muislam


Somo la kwanza


Ufungulizi


1-tizama vitu vyote vinavyo kuzuunguuka katika arzi kama vile vitu jamadi(milima ,mawe ,milima…..),mimeya, minyama,mandege,vidudu na masamaki…..


2-huwone kwamba upatikana kila kitu ni kyenye kupangwa vizuri sana hali ya kuwa kila kitu kinaishi katika maisha yake na mwenendo wake haifanane na mwenziye


3-tizama vyenye kuwa juu yako katika anga kama vile:juwa ,mwezi,ma planetes, na manyota na mawimbi na zaruwa….huone ya kuwa kila kitu kinatembeya kwa mupango wenye kuwa


Maalumu ,na kila kimoja kina ishi hali nzuri ambayo inaturasishia maisha katika


Arzi


4-tizama nafsi yako :katika viungo vya mwili wako na mupangiliyo wa viungo


Katika mwili huone kuwa upangwa vizuri sana ,unaposaidizana na watu na uifaziwa


Kimaisha kwa ukamilifu


5-ni nani ambaye kaumba hii maajabu?na ni nani kaweka hivi vitu kwa mupango wenye kuwa hikma ?na ikawa ivo basi ni nani ambaye anauzibiti ao kuongoza uyu


Ulimwengu wenye kuwa na upana ambao


Ni vigumu mutu kuujuwa.


-6haija patikana kutokana na mtu yeyote ambae kajidai kwamba aliumba kitu katika ulimuengu,ao hakika yeye ana uwezo wa ku umba ijapokua lunywele


7-hakika muumbaji wa viumbe vyote na mwenye kuvijuwa ni moja tu.na leti ingalikua miyungu mingine siyo kuwa Mwenyezi Mungu peke yake ,ulimwengu


Unge aribika arizini kama vile mbinguni maana yake kila umoja angalipenda ulimwengu uwe vile yeye anavyotaka.


Na yule ummoja ambaye kaumba vitu vyote :ni MWENYEZI Mungu wa ukweli ambaye afanane na kitu chochote hakuza wala hakuzaliwa.


8-na ki akili ni lazima tujisalimishe kutokana na huyu ukweli ,na tumu amini ambaye aliye tuumba na Mola wetu ,na tumukiri kwa neema zake kwetu,na tusalimishe nafsi zetu na uzima wetu katika kufata njia ya uongofu wake mzuri na kwa hekima yake na rehma.


9-alitupatishia Mumbaji wetu akili tupate kua na ufahamu ,na liberter tu chaguwe njiya ya kunyooka (ya ukweli)


10-na alituwekeya wazi Mwenyezi Mungu


Njiya yenye kunyooka ,kwa kutuma mitume wake ambao wa mwisho wao ni bwana wetu Muhammad rema na amani ziwe juu lake,na kutokana na vitabu vyake


Ambavyo kya mwisho ni kur an tukufu


11-na hivi mbele yetu ivi sasa ni njiya mbili:moja yaho ni kupata neema nzuri duniani na ahkera na ndie uislam


-12na njia ingine ina mufikisha mutu katika maisha mabaya na hasara duniani


Na azabu kesho ahkera isiyo kuwa na mwisho


Na hivi uchagizi mbele yetu ?


Mwenyezi Mungu atuongoze katika njiya ilio nyooka ,amin.


Somo la pili


Uislam ni nini?


1-uislam ni mambo ma tatu:ni kuamini kwa moyo na maneno na vitendo


2-Kuamini:ni uamini kwa elimu ,Mwenyezi Mungu na wa malaika na vitabu kutoka mbinguni na mitume na siku ya mwisho na kadara .


3-na maneno:ni kushaidiliya kuwa Mwnyezi Mungu ni mmoja na mtume Muhammad ni mtume wake.


4-na vitendo:ni mipango ya ibada (sala ,kufunga siyami,kutowa zaka,na ku hiji)na myenendo nzuri na baki ya mambo mengini ambao ina mulazimisha mutu kuyafata katika maisha.


Somo la tatu


Kumuamini Mwenyezi Mungu


1-tunamuamini ALLAH peke yake ,nay eye ndiye mola wetu bwana wa kila kitu


2-na ALLAH muumbaji wa kila kitu


3-na kila kitu kisiyo kuwa Mwenyezi Mungu kliumbwa ,na ni muja mwenye amelehewa ,hamiliki kitu chochote pamoja na Mwenyezi Mungu .


4-piya na wamalaika na mitume ni waja wa Mwenyezi Mungu


5-na miyongoni mwa mitume :Issa na Muhammad rehma za Munyezi Mungu ziwe juu lao,hawana lolote lakuwaita miyungu


-6na tuna amini kuwa ALLAH ni HAYI KAYUUMU wa mwanzo bila kuwa na uanzilifu na wa mwisho bila kuwa na umwisho wake


7-na yeye ALLAH ni musikivu anasikiya masauti ya vitu vyote Muonaji anaona kila kitu


8-na yeye ni mwingi wa rehma murehemevu ,muweza wa kila kitu


9-na ndiye mweye kuwa na majina bora na masifa tukufu


10-na tuna amini kwamba Mwenyezi Mungu alituumba bila kuwa kitu


11-na alitufanya katika umbili nzuri


12-na yeye alituneemesha kwa kila neema


13-na kwa hivo siyo vizuri tu abudu asiye kuwa Mwenyezi Mungu ,ijapokuwa malaika mukurubishwa ,ao mtume aliyo tumwa .


14-na mtu ambaye ata abudu asiye kuwa Mwenyezi Mungu ao atasujudiya kisiyo kuwa ALLAH ao atachinja siyo kwa ajili ya ALLAH kwa kutafuta ku abudu ao kukituza amekuwa kafiri ,siyo muislam


Ijapokuwa ata tamka shahada mbili.


15-amesema Mwenyezi Mungu Mutukufu: sema hakika sala zangu na kuchinja kwangu na uzima wangu na kufa kwangu ni katika milki ya Mwenyezi Mungu Bwana wa ulimwengu(162)hana mushirika wake na kwa hayo ndiyo nime amurishwa, na mimi ni wa kwanza myongoni mwa wa islamu(163)surat anaam


16-na islam ni dini ya kumupwekesha Mwenyezi Mungu siyo kama vile ushiriki wa kimajusi(ni watu ambao wanaye abudu moto),na siyo kama vile ushiriki wa ki naswara wan aye abudu myungu tatu.Mwenyezi Mungu ni mmoja katika zati yake,hana mushirika wake katika ufalme wake ,wala katika hukmu yake . majina yake mazuri na sifa zake ni zenye kuwa juu.


17-Mwenyezi Mungu amesema:sema yeye Allah ni mmoja(1)Allah Mwenye kukusudiwa (2)hakuzaa wala hakuzaliwa (3)na wa hafananishwe na kitu hata kimoja (4) surat ihklaswi


Somo la ine


Imani ya wamalaika


1-tunaamini hakika ALLAH amewaumba kwakumuabudu ,na watekeleze maamurisho yake .na wawe masafiri baina yake na mitume wa vinadamu.


2-kutokana na wamalaika upatikana jibril ambaye alikuwa anakuja na ujumbe kwa mtume wetu Muhammad s.a.w.


3-na miyongoni mwa wamalaika upatikana Mikaeli ambae kazi yake ni kuleta maji ya nvuwa


4-na miyongoni mwao malaika wa kifo ambae upewa kazi ya kuchuguwa maroho za watu wakati wa kifo.


5-na wamalaika ni waja wa Mwenywzi Mungu ,wenye ukirimiwa kwake Mwenyezi Mungu .


6-, kwa hivo na sisi tuwaheshimu na tuna wakirimu kwa kuwataja


7-na lakini sisi hatuabudu yeyote myongoni mwao wala hatuwaombe ,na wala hatuwaiti kuwa ni watoto wa ALLAH ao mabinti wake


8-isipokuwa tunamuabudu ALLAH ambaye aliwaumba kwa huwo umbili mzuri


9-amesema ALLAH mtukufu:


Na wamesema kuwa rahmani kuwa na motto utakatifu ni wake haiwezekane isipokuwa ni waja wenye ukirimiwa


(26)hawamutanguliziye neno na wawo kutokana na maamurisho yake ndiyo wanafanya (27)anajuwa ALLAH mambo ya mbele zawo na nyuma zawo na hawata ombeya mtu yeyote isipokuwa arizike yeye ALLAH na wawo kwa mutcha Mwenyezi Mungu wapo na shafaka(28)


Na atakaye sema miyongoni mwawo hakika mimi ni mungu kulikoni ALLAH na huyo tutamulipa moto wa jahanamu na hivo ndiyo tuna walipa mazwalimina(29)surat ambiyaa


Somo la tano


Ku amini mavitabu vya mbinguni


1-tumeamini hakika ALLAH alishusha kwa baazi ya Mitume vitabu wapate kuwafikishiya watu


2-na ivi vitabu vina zungumuziya maneno ya ALLAH


3-na miyongoni mwa ivi vitabu:ma sahifa ya nabi IBRAHIMA


-Na piya taurati ambaye ushuka kwa Nabi MUSA


-na piya zaburi ushuka kwa NABI DAUDI


-na piya injili ambaye ushuka kwa nabi Issa(yesu)


Na piya kur an ambayo ushuka kwa Muhammad amani na rehma za ALLAH ziwe juu lao wote.


4-na huakika ni kuwa misingi za vitabu viliyo tanguliya hupatikana katika kur an, na ni kwamba mayahudi na manaswara(wakristu) walibadili ao kuaribu baazi za


maandiko ziliyo tafsiriwa katika taurati na injili ,katika mafikara ambao waliyo tunga kutokana na misafara(mabuku)agano lakale (zamani) na agano lipya


5-kur an ufuta vitabu viliyo kuja kabla yake ,na uislam ufuta dini zote zisiyo kuwa uislam


6-na kila kitu unacho ona katika vitabu vitukufu vina kwenda kinyume na kur an ,ima uandikwa na watu ao ugyeuzwa ao kur an ufuta hiyo hukmu.


7-amesema ALLAH mutukufu:


Na tunakushushiya kitabu kwa ukweli kyenye ukweli mbele yake kutokana na kitabu chiliyo mutanguliya na kukizungu kia )surat ma ida:48


8-na uakika ALLAH mtukufu alishusha kur an kwa luga ya kiarabu ,na akaifazi kutokana na kila ubadirisho ao ugyeuzi. amesema ALLAH kuhusu kur an:hakika sisi tumeshusha ukumbusho na ni sisi ambao wenye kuifazi(9)surat al hijri


somo la sita kuwamini mitume


1-tuna amini kwa uhakika kwamba Mwenywzi Mungu alichaguwa miyongoni mwa wana adamu manabii ,akawakhusisha kutokana na makhabari ya mbinguni


2-na akachaguwa miyongoni mwa ma nabii mitume


3-na akawatumiya wahyi nayo ni masheriya ambayo aliwaamurisha wawafikishiye watu ,na wawa fundishe kwayo.


4-na miyongoni mwa mitume wa resolution,na wawo ndiyo wenye kuwa na nguvu zaidi ya wa nabii wengine katika kuvumiliya uzito wa kufikishiya watu maneno katika dini ya ALLAH ,na wawo ni tano :nabii Nuhu ,nabii Ibrahiim ,nabii Mussa ,nabii Issa, na nabii Muhammad salamu na amani za Allah ziwe juu lake ,na juu ya baki ya mitume wote kwa jumla.


5-juwa hakika wewe utakapo ingiya katika uislam ,uislam haukuamurishe umukufuru Musa ao Issa ao wenginewe miyongoni mwa mitume.


6-na lakini uislamu una kubainishiya vipi uta amini manabi imani ya ukweli.


7-Mwenyezi Mungu anasema katika kur an :(na tumekushushia kitabu kwa uhaki kyenye kusema ukweli kutokana na kile kiliyo mutanguliya na kukizunguukiya )suratul maa ida:aya47.na maana yake ni kusema :kinabainisha ukweli kufatana na yale waliyo badilisha.


8-na alitaja Mwenyezi Mungu mtukufukatika kur an majina mengi ya ma nabi,amesema ALLAH:(semeni tumemu amini ALLAH na vile ambavyo viliyo shushuwa kwetu na ambavyo viliyo shuka kwa Ibrahimu na Ismaila na Isihaka na Yakubu na ma asbati na yale uletewa Musa na Isa na yale ambayo uletewa ma nabi kutoka kwa mola wawo na hatu pambanuwe hata moja baina yao na sisi kwake ALLAH wenye kusilimu.(surat albakarat:aya 136)


9-nabii wa kwanza ni Adam baba wa viumbe,amani ziwe juu lake.


10-na nabii wa mwisho ni mtume Muhammad (salamu ya ALLAH iwe juu lake na amani)hakuna nabii baada yake mpaka kiyama.


11-na kwa hivo hakika dini yake ndiyo moja tu ya ukweli ambayo itabaki mpaka siku ya kiyama.


12-na yeye ndiyo Muhammad ibni Adu lhahi ibn abdul mutwalib ibni haashim .mu arabu kutokana na kabila ya kuraish(yenye kujulikana).na yeye ni kutokana na watoto wa Ibrahimu na Ismaili amani ziwe juu yao.


13-alizaliwa Makka mwaka wa tembo (571baada ya kuzaliwa yesu)


14-na akapata utume kutoka kwa ALLAH ana umri wa myaka arbaini .


15-na akaishi MAKKA baada ya kupata utume myaka kumi na tatu akilinganiya watu katika njiya ya ALLAH.


16-kwa sababu hiyo waka amini idadi ndogo kutokana na watu wa Makka na wenginezo.


17-na aka hama kwenda madina na akakalinganiya watu wa madina katika njiya ya ALLAH,waka amini.


18-na akafungua MAKKA katika mwaka wa nane baada ya kuhama.


19-na akafariki na umuri wake ana myaka 63,baada ya kukamilika kuteremuka kur An ,na wakaingiya wa arabu katika uislam.


Somo la saba


Imani ya siku ya mwisho


1-tuna amini kuwa baada ya hii maisha ya duniya kuna maisha ingine


2-na piya ika malizika ajali ya duniya basi ALLAH ata amurisha malaika apulize parapanda ,na watakufa viumbe vyote.


3-kisha atapuliza katika parapanda mara ingine ,na watasimama kutokana na makaburi watu wote waliyo kufa tangu Adam ,wanarudi kuwa wazima.


4-kisha atafufuwa ALLAH watu kwa ajili awaisabu vitendo vyao .


5-ama wale ambao walyo amini ,na waka sadiki mitume ,na wakatenda matendo mema ,na Allah uwaingiza peponi.


6-na peponi wataneemeka katika neema ya daima isiyo kuwa na mwisho wake.


9-Ewe Mwenyezi Mungu hakika tunakuomba pepo ,na tunajikinga kwako kutokana na moto .amin


10-amesema Mwenyezi Mungu mutukufu:(na ama yule ambaye ana chupa mipaka 37na akachaguwa maisha ya duniya38basi hakika moto ndiyo mafikiyo yake 39na ama ambaye uogopa musimamo mbele ya mola wake na amekataza nafsi kutokana na matamanivu 40basi pepo ndiyo mafikiyo yake41,surat nazi ant37-41


Maibada za muislam


Somo la nane


Maibada


Mavitendo ya kidini


1-mavitendo katika uislam ugawanyika katika namuna mbili ya ki raisi:


-maibada,nayo ni mipango na malazimisho ya ibada ,mfano sala na zakatu,na swiyamu,na hadji.


-na maisha ya ya ki social:na ina changa kila hali ya kimaisha ambayo utizama mutu peke yake ao familiya ao kigundi ao uma wa ki islamu kwa ujumla,sawasawa iwe kisiyasa ao ki economie ao ki elimu ao hukmu ao kimwenendo ….inchini ao ulimwenguni.


2-na maisha ya ki social itakapo tegemeya kwenye sheriya ze ALLAH ugeuka kuwa ibada katika maana yote.


3-haita zungumuziya aka kakitabu kwa kubainisha mambo yote ya vie social ,ni juu yako urejeleye katika hali yeyote ile kitabu kimoja miyongoni mwa vitabu vya fikhi(kanuni)ya uislamu,ao ulize mujuzi muislam yeyote ule ambae uaminika katika ilimu yake,ao organisation ya ki islamu.


4-nguzo za uislam katika vitendo ni tano:


Nayo ni shahada mbili,na sala ,na zakaat,na swiyaamu,na hidja


Somo la tisa


Shahada mbili


1-ushahidiliye kwa ulimi wako, na wewe umekiri katika moyo wako ,hali umesema:na shahidiliya hakika hakuna mola mwengine isipokuwa ALLAH peke yake *na nashahidiliya hakika Muhammad ni mtume wa ALLAH .


____________________________


Nashahidiliya hakika hakuna mola mwengine isipokuwa ALLAH peke yake*na shahidiliya hakika Muhammad ni mtume wake .


Maana ya shahada ya kwanza :ni kukiri kabisa ,na ku amini mpaka mwisho umoja wa ALLAH,na ni haki yake kumuabudu yeye peke yake bila mwengine na kumutii bila kuwa na mwisho wake katika kila kitu.


Na maana ya shahada ya pili:ni kukiri kabisa ,na kuamini mpaka mwisho hakika Muhammad ni mjumbe kutoka kwa ALLAH ,ametuleteya kitabu nayo ni kur an .na katika kur an na suna ya nabiyi salamu na amani iwe juu lake ndiyo njiya ya ukamilifu katika maisha.


___________________________


Somo la kumi


Sala


1-uswali kila siku sala tano.


2-swala ya alfajir raka mbili ,na wakati wake baada ya kuchomoka alfajiri mpaka kuchomoka kwa juwa.


3-na swala ya zuhuri raka ine ,na wakati wake ni kupindama juwa katikati ni kusema mwisho wake ni kupindama kabisa mpaka magaribi


4-na swala za ansri ni raka ine ,na wakati wake ni mwisho wakumalizika wakati wa azuhuri mpaka kutumbukiya juwa.


5-na swala ya magaribi ni raka tatu ,na wakati wake ni kutumbukiya juwa mupaka kutumbukiya myanga yake yote(baada ya magaribi kwa saa na rubu kwa ukaribu)


6-swala ya insha ni raka ine ,na wakati wake bora ni kumalizika wakati wa magaribi mpaka kati ya usiku ,na uweza kuendeleya mpaka kuchomoka kwa alfajiri.


Somo la kumi na moja


Kuji taharisha -


1-ni lazima kwa muisilamu kuwa na twahara na usafi atakapo Sali.


2-twahara ina namuna mbili:uzhu (twahara ndogo),na kwoga (twahara kubwa).


-uzu (twahara ndogo)ufanywa kwa mfano ujawo:


3-unuwiye kuwa huu uzu ni kwa ajili ya swala


4-useme:kwa ajili ya ALLAH murehemevu mwingi wa rehema.


5-osha kwa maji vitanga vyako viwili mpaka kwenye maonganiyo ,na na umadumadu maji kinywani usti inshaki maji puani na uisambaze kwa ajili ya kusafisha ndani ya puwa.


6-uoshe uso wako .


7-uoshe mikono mbili mpaka kwenye mirfakaini(mifupa mbili yenye kuchomoka ku maunganiyo)(ukianzia mkono wa kuliya)


8-upage maji kwa mikono yako juu ya kichwa


9-uoshe miguu yako mbili mpaka kwenye mifupa mbili ya kaabaini(ukianza muguu wa kuume)


10-sema shahada mbili


11-utakapo chuguwa uzu mara ya kwanza siyo lazima uchuguwe uzu mara ingine isipokuwa itakapo aribika uzu wako.


12-uaribika uzu kwa sababu ya kwenda choo kubwa ao ndogo(mkojo)ao kutokwa na pumuzi nyuma ao kulala.


13-UOGA MUISLAM ITAKAPO MUFIKIYA:


1-kutokwa na manii kwa hali ya kitwabii


2-kuingiliya muke


3-kukatika damu ezi kwa mwanamuke.


4-kumalizika damu ya nifasi(mwisho wa kuzaa)


14-kuwoga ni kwa maji masafi mpaka kueneza mwili woote .


-KUTAYAMAMU(twahara ya bila maji):


15-tuna tayamamu katika hali ya kutokupatikana maji ya uzu ao ya kuoga,ao kutokupatikana uwezo wa kutumiya maji kwa sababu ya magonjo ao sababu yeyote ile.


16-tunatayamamu kwa kupiga vitanga viwili kwenye udongo musafi.kisha unapaga kwenye uso wako mara moja.na ivo ivo vitanga vyako (ukianza kitanga cha mukono wa kuliya)


Somo la kumi na mbili


Vipi utajuwa kusali


1-bora zaidi ni uswali jamaa pamoja na waislam musikitini ,utapata malipo iliyo bora zaidi ,na utajifunza kwa uwepesi kujuwa kuswali kama vile watu wanavyo swali.


2-katika hali ya kuswali peke yako fwata izi hkatuwa zifatazo:


3-tizama sana usafi wa mwili wako na nguo zako na sewhemu ambao unataka kusaliya


4-ujielekeze kibla na hiyo ni ngambo ya muskiti mutukufu wa muji makka mukarama katika udongo wa hijazi.


5-uinuwe mikono yako miwili mpaka kwenye mabega yako mbili na sema:(ALLAHU AKBAR)Mungu ni mukubwa.


Weka mikono yako juu ya kifuwa chako:mkono wa kuliya juu ya mkono wa kushoto


7-soma suratul fatha(tizama mbele ili uifaze alfathat)


8-rukuu kwa kuinama mbele ukisema(ALLAHU AKBAR),na iwe mugongo wako wenye kunyooka ,na vitanga vya mikono yako vina shika magoti yako.


9-useme katika rukuu yako:(SUBEHANA RABIYAL ANZWIIM)mara3,maana yake utakasifu ni wa Mola wangu mtukufu.


10-kisha uinuwe kichwa chako hali umesema:(SAMIAN ALLAHU LIMAN HAMIDAHU,RABANA WA LAKAL HAMDU)maana yake amemusikiya ALLAH mtu ambaye umusifu,Mola wetu na sifa zote ni za kwako)


11-kisha unafanya takbira(ALLAHU AKBAR)ukianguka mwenye kusujudu mwenye kuweka sehemu ya juu ya uso wako na chongo la puwa ,na vitanga vyako viwili na magoti yako mbili na vidole vyako vya miguu mbili kwenye arzi (udongo).na unasema katika sijida yako(SUBUHANA RABIYAL ANLAA)mara 3,maana yake utakasifu ni wa MOLA wangu wa juu.


12-kisha unafanya takbira(ALLAHU AKBAR)na unakaa .na unasema katika mukao wako (RABIIR FIRLII WARHAMNI)maana yake Mola wangu uni rehemu .


13-kisha unafanya takbira (ALLAHU AKBAR)na unasujudu tena mara ya pili .na unasema (SUBUHANA RABIYAL ANLA)mara tatu


14-kisha kutimiza sijida ya pili unakuwa umemaliza rakaa moja.


15-unasimama baada yake hali ukisema:(ALLAHU AKBAR).kisha unasimama na una swali rakaa ya pili kama vile ya kwanza.


16-na kisha kumaliza raka ya pili unakaa na unasoma shahada na swala ya ibrahimiya(tizama namuna ya kusoma shahada na swala ya Ibrahimiya katika mwisho wa kitabu)


17-kisha utowe salam ukigyeuka ngambo ya mukona wako wa kuliya hali umesema:(Assalamu anlaikum wa rahmatulhahi),maana yake amani ya ALLAH na rehma zake ziwe juu lako.


18-kisha unatowa salam mkono wako wa kushoto hali umesema ivo ivo.


19-hii ndiyo mfano wa kusali swala za asubuyi,kwa kuwa ni raka mbili basi.


20-na katika swala ya azuhuri unasimama baada ya shahada ,na usiseme swalati ibrahimiya unaongeza tena raka mbili ingine.


21-kisha usome shahada,kisha usome swalatu Ibrahimiya ,KISHA TOWA SALAM.


22-na ni mfano wa swala ya zuhuri ,alanswiri,na alishai


23-ama swala ya magaribi ina rakaa tatu,na kwa ivo uswali baada ya shahada ya kwanza rakaa moja basi .


KWA NINI TUNASALI?


24-muislamu anasali kumuabudu MwenywziMungu mutukufu ,kwani sala ndiyo ibada kubwa ambayo MwenyeziMungu anayapenda kwa watu.


25- nani kumushukuru juu ametuumba katika umbili iliyo bora sana.


26-na ametuongoza kwenye dini ya uislamu


27-na kwa ajili aombe muislam MOLA wake katika swala kwamaneno ya ALLAH NAYO NI KUR AN.


28-na amutukuze MOLA wake bila kumusahau ,na asisahau maamurisho yake katika mikokotano ya maisha .


29-na kwa ajili aombe Mwenyezi Mungu mutukufu , amupe musaada na kufaulu na uongofu daima katika migongano ya maisha.


30-na kwa ajili izidishe mapenzi na Mwenyezi Mungu na kumuogopa katika moyo wa mwenye kusali ,na awe tu mwenye musimamo katika mwenendo wake ndani ya dini ya kislamu na sheriya zake na adabu zake.


31-na kwa ajili sala iwe wema ambao ALLAH asamehe kwayo mazambi.


32-na akutane na MOLA wake siku ya kiyama ,na afurahi kwa yale aliyo muandaliya kutokana na malipo mema katika neema ya peponi.


33-swala ni mpango wa mazoezi na uwinuko uakikisho kwa waislam –ikiwa ataifanya vizuri –inafaida kubwa:kimwili na kimwenendo wa tabiya na kiroho,mufano usafi na kiafiya ,na kujuwa mipangiliyo ya mambo na heshima na undugu na usawa na kujuwa kuishi kifamiliya…………….ect


Somo lakumi na tatu


zakat


1-maana ya zaka ki elimu inatoka katika asili ya kuzidi na twahara


2-na katika uislam maana yake ni utowe sehemu maalumu kutokana na mali ya milki yako katika kila mwaka kufatana na esabu ya kuchomoka mwezi katika mambo ya heri ambayo kur an ilizungumuziya.


3-utakapo timiza kiwango cha mali , katika mwaka kwa ukamilifu ,isiwe chini ya 85grama ya zahabu ni lazima juu yako utowe 2,5%


4- hii zaka upewa mafakiri na wamasikini miyongoni mwa waislamu,na upewa watu ambao wako katika njiya ya MwenyeziMungu(jihadi) na wasafiri ambawo wanaishiwa mali katika safari,ao upewa watu ambao wanapenda kuingiya katika uislamu kwa kuwapatiya nguvu ,ao wenye kuwa na madeni na wanashindwa kulipa.


5-na hivo hivo na kama utakuwa na vyashara utimiza mwaka ni juu yako kutowa zaka baada ya kutimiza kile kile kiwango.


6-na unaweza kuuliza mwanachuoni ao kureleya vitabu vyenye kuzungumuziya zaka ya mali ,na kiwango ambacho kimelazimishwa kutowa.


KWA NINI TUNATOWA ZAKA?


7-tunatowa zaka kwa ajili ya kumuabudu MwenyeziMungu,kwa ajili Mwenye ziMungu alitamurisha ivo,naye anapenda wenye kutowa zaka.


8-na kwa ajili ya kumushukuru MwenyeziMungu mtukufu ambaye katuzidishiya mali,na akatuwafikishia kutafuta.


9-na kwa ajili tutowe mali katika kusaidiya mafakiri na wamasikini ,na tuokowe wenye kuwa katika matatizo.


10-na tushiriki katika kutengeneza maisha katika mafamiliya ya sisi waislamu.


11-Na kwa ajili iwe kwetu tunashiriki kulinganiya uislamu ulimwenguni.


12-na tunatowa mali ya zaka tunajisafisha nafsi zetu kutokana na magonjwa ya ubahili na gourmandize na kuabudu mali.


13-na tuwe sisi ndiyo tuko juu ya mali,na tusiwe waja wa mali.


14-na tutowe zaka kwa ajili tusafishe mali zetu kutokana na matumizi mbaya tunapoitafuta.


15-na hivo ndiyo atatuifaziya ALLAH na ataibariki .


16-na tunatowa zaka kwa ajili atulipe MwenyeziMungu malipo mazuri ahkera .


17-na kwa ajili tuzuwiye wenyekuitaji myongoni mwetu kutokana na chuki na mutizamo mubaya.


-18na kwa ajili ya kuziwiya vie social ya watu iwe sawasawa tusiachane kimaisha katika tabaka,na tushirikiane kuponesha magumu ya ki economie.


19-na unaweza kulipa zaka yako katika nyumba utolewa zaka ,ao organization ya kislam ambayo iko najulikana ina angaliya mambo ya zaka na inagawanya katika mafungo yake kisheriya.


SOMO LA KUMI NA INE


SWIYAMI(kufunga)


1-itakapokuja mwezi wa ramazani (nawo ni mwezi wa kenda katika mwaka wa myezi ya kiislamu)waislamu wanafunga masiku ya huu mwezi wote kwa ajili ya kumucha MwenyeziMungu mtukufu ,na kumushukuru kwa ajili ya kuiteremusha kur an tukufu katika mwezi wa ramazani.


2-na swiyami ni kujiziwiya kula n a kunywa na kuingiliya wanawake,mwanzo wa alfajiri mpaka kuzama juwa.


3-na mtu ambae atakaye kuwa mgonjwa


katika sehemu za masiku ya mwezi wa


ramazani ,ao musafiri,jnajuzu kwake ale muchana


4-na atakapo fungua mgonjwa ao musafiri basi atafunga masiku ingine kwa hesabu ya ile masiku aliye kula mchana(kulipisha)


5-na itakapomalizika ramazani ,inafatisha siku ya idil fitri nayo ni siku ya kwanza kutokana na mwazi wa shawali nao ni mwezi ambao unafatia mwezi wa ramazani.


6-na asubuhi ya siku ya idil fitri waislamu wanasali swala ya idi , pamoja,katika uwanja ao miskitini ,kumushukuru ALLAH kuwaafikisha kumaliza kufunga ramazani.


7-MwenyeziMungu mtukufu anasema kuhusu hii ibada yenye kuwa muhimu:


(enyi ambao muliyo amini imelazimishwa juu yenu kufunga kama vile ilivyo lazimishwa juu ya wale ambao waliyo kuwa kabla yenu ili muwezi kuwa wenyi kumucha Mwenyezi Mungu)albakarat-183


8-na anasema tena:(mwezi wa ramazani ambao ushushwa ndani mwake kur an uongofu kwa ajili ya watu na ni ubainifu kutokana na uongofu na ni dalili ,na ambae atadiriki miyongoni mwenu mwezi wa ramazani basi aufunge na ambae atakae kuwa mugonjwa ao katika safari basi alipishe kutokana na masiku mengine)albakarat :185


KWA NINI TUNAFUNGA MWEZI WA RAMAZANI?


9-tunafunga ramazani kwa ajili ya kutii amri za MwenyeziMungu mtukufu ,na ALLAH hakika ametu amurisha hivo kwa ajili anapenda wenye kufunga.


10-na tunafunga kwa kumushukuru kwa juu yeye ndiyo aliyeshusha kur an katika mwezi wa ramazani uongofu kwetu na viumbe vyote


11-na juu hakika yeye alituchagua tuwe miongoni mwa wenye kuamini kur an


12-na ametuwafikisha kuifazi kur an na kuisoma na kuhifahamu na kufata uongozi wa aya zake.


13-na tunafunga kwa ajili tuweze kuvumiliya utamanivu wa kula na kunywa ambayo ALLAH aliyeumba katika mili yetu.


14-na kwa ajili iwe mazowezi juu ya kuacha vitu vya haramu kutokana na vyakula na vinyivo na mali kwa kutii amri za ALLAH.


15-na tunasumu kwa ajili tupate kukumbuka wazaifu na wamasikini ambao wanapatwa na njaa zaidi,na piya watoto wao,ivo ndiyo tupate kuwatowea sadaka kwa sehemu ya yale ambao MwenyeziMungu alituneemesha kwayo .


16-na tunafunga kwa ajili tusijishurulishe na matamanivu ,na hivo ndiyo tupate kuleya nyoyo zetu,katika njiya ya kujitoleya katika mambo ya ibada ndani mu mwezi wa ramazani .


17-na kwa ajili ituzidishie ihklaswi kwa ajili ya ALLAH, NA KUJICHUNGUA na kuwa na subira na utiifu kwake,na piya munufaa ya ki afiya.


18-na inakuwa malipo yake yenye kuifaziwa kwake ALLAH atatulipa kwayo siku ya kiyama.


SOMO LA KUMI NA TANO


KUHIDJI


1-hidja ni safari ya kuelekeya alkaaba –nyumba ya MwenyeziMungu mutukufu –katika mji wa makka ,kwa kukusudiya kufanya amri za Mwenyezi Mungu ,na kutimiza mipango maalumu huko.(kwa kutaka kujuwa kwa kwa kirefu,urejeleye vitabu vyovyo vya kiislamu vyenye kuzungumuziya hii jambo.


2-hidja ulazimishwa mara moja katika umri –juu ya kila muislam mwenye kubaliri anamiliki uwezo kimwili na kimali.


3-safari ya ya kwenda kuhiji ,na na vilivyomo miyongoni mwa mipango za hidja,uhakikisha katika sura moja miyongoni mwa misingi za uislamu,na uishi ulimwengu wa kiislamu ambao ulikuwa juu yake mitume wa ALLAH ,Ibrahimu ,Ismail,na Muhammad amani za ALLAH ziwe juu yawo.


4-utekelezwa mipango ya hidja kwa jumla katika nusu ya mwanzo wa mwezi wa zulhidja (mwezi wa kumi na mbili kutokana na mwaka wa hijiriya).


5-katika siku ya tisa kutokana na mwezi wa zilhidja utekelezwa kutimiza nguzo kubwa katika mipango ya hidja ,nayo ni kusimama kunako mulima wa arafa,hapo ukutana mahujaji woote,ambao idadi yao ufika zaidi ya miliyoni mbili.


6-kusimama mahujaji katika mulima wa arafa hakika ufanywa sheriya kwa ajili ya watu wamunyenyekeye MOLA wao.na wazihirishe tauba zao kwake ALLAH,na kutumainiya rehma zake na marfira yake.


7-na hii utukumbusha kwa jumla zaidi siku ya kiyama .


8-katika siku ifatayo (tarehe kumi)inakuwa idi kubwa ,idi ya kuchinja(sacrifice),na hii siku mahujaji wanachinja vichinjo(masacrifice) vyao. Na baada ya kuchinja wanaelekeya kwenda MAKKA kutufu pembeni ya alkaaba mara saba.


9-wanasimama waislamu na katika kila na fasi siku ya idi uchinjwa vichinjo(sarifice) (ngamiya ,ngombe ,mbuzi)baada ya kisha kusali swala ya idi.


10-vichinjo ilitiliwa sheriya kuhuishisha ukumbusho wa sacrifice kubwa kubwa ya nabii Ibrahimu amani ziwe juu yake zama alikuwa anapenda amuchinje ismail mtoto wake mmoja na mpendwa,na hivo ni wakati alimuamurisha ALLAH afanye hivo kumujaribu kufatana na ihklaswi yake na utiifu wake.


11-na utakapo hidji na umemaliza


kutokana na mipango ya hidja ,unaweza kuzuru muskiti wa mutume madina munawara,na uswali ndani ,kwa kuwa swala ndani yake inamalipo makubwa.


12-na utakapokuwa madina munawara uzuru kaburi ya mtume s.a.w.,na makaburi ya maswahaba watukufu,ziyara kisheriya,na uwasalimiye.


13-na hivo hivo kuzuru muskiti wa kudusi palestini ni vizuri katika uislamu.


Tunamuomba MwenyeziMungu asaidiye waislamu kwa kuuwokowa kutokana na maadui mayahudi mazwalimu.


KWA NINI TUNA FANYA HIDJA?


14-tunahidji kwa kutii amri ya Mmwenyezi Mungu mtukufu kwa kuwa yeye ndiyo ametuamurisha.


15-na kumushukuru juu ya neema kiswiha na hafiya na mali na watoto


16-na tunahidji juu ya kumutukuza ALLAH kwewnye twawafu pembeni ya alkaaba ,nayo ni nyumba tahara .


17-na alkaba ndiyo nyumba ya kwanza ambayo iliyo jengwa arzini kwa ajili ya kumuabudu ALLAH ,alijenga Ibrahimu halili ,na mtoto wake ismail,kwa amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu .


18-na tunahidji kwa ajili tuswali kwenye alkaaba ,ambayo ndiyo kibla(maelekezi) ya waislamu ulimwengu mzima.


19-na kwa ajili tusimame arafa na manafasi tukufu,tupate kumutukuza ALLAH huko ,na tutakase nafsi zetu ,na tunatubu kutokana namazambi yote.


20-na tuna hidji tuone manafasi ambao amesimama kwayo Ibrahimu mpenzi wa ALLAH na mtume wake mukirimu ,na nafasi aliyesimama nabii wa ALLAH ismaila ,na akamuwabudu ALLAH PALE.


21-NA TUNHIDJI kwa ajili tuone arzi tukufu ambayo amezaliwa kwayo nabii mwongozi MUHAMMAD (salamu na amani ya YA Allah ZIWE JUU YAKE)na aliguwiya na akapata wahyi(utume),na akavumiliya mauzi,na akafanya jihadi katika njiya ya kusambaza nuru za ALLAH.


22-NA TUNAHIJI kwa ajili tukutane na waislamu ambao wanatokeya ngambo zote za arzini ,na tunaona ukweli wa undugu na kuwa sawaswa na muungano na mapenzi baina ya waislamu ,kinyume na kutizama baina yao kutokana na nationalite ao rangi na umbalimbali wa kimaisha na mengineo kutokana na mambo ya kiduniya.,na hiko tunaona ulimwengu wa kiislamu.


23-na kwa ajili tujizoweze kuwa na maadabisho ya subira na sacrifice na kuvumiliya na kujishusha ,na mengineo kutokana na mazowezi ya kiroho,ambayo sisi tunatafuta kuitajiya kwayo.


24-na tunahidji kwa ajili tujitwaharishe kutokana na mazambi,tupate kurejeya kutoka hidja bila mazambi,na tuanze maisha meupe(mapya)safi,wenye matamaniyo tujiifazi na ule usafi mpaka siku tutakutana na ALLAH,na tuwe myongini mwa watu wake wenye kukirimiwa katika nyumba ya milele.


***


MAISHA YA MUISLAMU


Somo la kumi na sita


Vitu vilivyo haramishwa


1-hakika Mwenyezi Mungu alitufanyia sheriya katika kur an na suna ya mutume mahukmu mengi


2-myongoni mwa izi mahukmu ,kuna yale iliyo lazimishwa na yale iliyo kuwa haramu


3-ama yaliyo lazimishwa ,hakika tulikubainisha zaidi miyongoni mwayo tulizungumuziya kabla.


4-na ama yaliyo haramishwa ,yaliyo muhimu myongoni mwayo:


YA KWANZA-vyakula viliyo haramishwa:


5-mizoga(vitu viliyo jifiya):nayo ni minyama ya injikavu ya maji vilivyo jifiya,sawasawa vilijifiya vyenyewe –bila kuchinjwa –ao vilijifiya kwa kupigwa ,ao uanguka kutoka nafasi ya juu kisha ufariki,ao uliwa na munyama mukali(carnivor)kisha ufariki kabla ya kuchinjwa ( na kuchinjwa katika sheriya ya kislamu ni mpaka damu itoke)


6-na myongoni mwa maiti ni ile ambayo iliyo chinjwa na makafiri wasiyo kuwa manaswara wala mayahudi.


7-ama nyama ya minyama ya ndani ya maji(mabaharini)haiaramishwe maiti


8-damu ambayo ushuka unapokata mnyama


9-nyama ya nguruwe


10-na mnyama ambao uchinjwa bila kutaja jina la Mwenyezi Mungu,ao uchinjwa kwa ajili ya kutukuza kisiyo kuwa Mwenyezi Mungu.


11-nyama ya minyama kali kama vile masimba, na nyama ya mandege mikali kwenye midomo yawo kama vile aigle(sokor)


12-nyama ya punda


13-nyama ya minyama ambayo inashi kwa kula manajisi,isipokuwa ikala kwa kutokuwa chakula safi kwa muda ambo hawezi kusubiri.


14-chakula yeyote ile upatwa na najasa,nayo ni choo ,mpaka iwoshwe kwa maji ikiwezekana.


15-pombe na baki ya vitu vyote vyenye kulewesha kama vile pombe(bangi,eroine)


16-chakula ambayo ina atari ndani mwake katika mwili kama vile sumu.


YA PILI:VITENDO VYENYE KUHARAMISHWA:


Nayo ni vitenda ambayo anachukiya Mwenyezi Mungu na inamukasirisha na umuazibu mtendaji.


17-kumushirikisha ALLAH.


18-kuasi wazazi


19-wongo


20-kuuwa nafsi ambayo Mwenyezi Mungu aliaramisha asipokuwa kwa haki.


21-uzinifu


22-kuiba


23-kula mali ya mayatima


24-kukimbiya vita ya makafiri


25-kumtusi mwanamuke muaminiyo mwenye kujieshimiya kwa uzinifu ao mwanaume muaminiyo mwenye kujiuyeshimu.


26-kujiacha uchi mbele ya watu isipokuwa kama ni juu ya matunzo(neno uchi kuusu mafuhumu ya uislamu maana yake ni kuacha sehemu maalumu ya mwili ya mutu mwanaume ao mwanamuke ambayo ni lazima asioneshe .uchi wa mwanaume inaanza ku kitofu mpaka magoti.na uchi wa mwanamuke ni mwili wake wote isipokuwa uso na vitanga vya mikono


27-kula mali ya watu bila sheriya,kwa rushwa(coription)ao kuiba ao kudanganya ao ku tricher


28-kugawanya rushwa juu ya kula mali ya watu kwa ubatilifu ao kwa kupata mali ambayo siyo haki zako.


29-kuowa mama yako ao mtoto ao dada ao shangazi ao mama mdogo ao mtoto wa kaka yako ao mtoto wa dada yako kutokana na nasabu ao kunyonya katika ziwa moja ao muke wa baba ao muke wa mtoto ao mama wa muke ao mtoto wake.


30-asiwowe mwislamu mwanamuke kafiri isipokuwa naswara ao yahudi


31-asiolewe muke muislamu kwa mwanaume kafiri ,ijapokuwa awe naswara ao yahudi ,kama haja ingiya katika uislamu


***


SOMO LA KUMI NA SABA


Mawali wa Mwenyezi Mungu


__________________________


Mawali ,ni uwingi wa wali,tamko hii katika uislamu ina maana maalumu,maana yake ni muislamu ambaye anazibiti nafsi yake katika ihklaswi kwa ajili ya maamurisho ya Mwenyezi Mungu kwa jumla ya kimaana kwa urefu wake.lakini hii tamko hakika inaweza kuwa nguvu kufahamu katika baazi ya waisilamu,myongoni mwa wale ambao wanafahamu kisura ambao siyo ivo na piya mbali na uislamu,wanakuwa nazani kwamba ni mutu mwenye kuwa nasifa ya maajabu ambayo anakuwa na uwezo wa kufanya mambo ya maajabu isiyo fanyika,na mfano huu ndiyo wamefahamu wanachuoni islamiyaati miyongoni mwa wa europeen ,hakika mawali ufanana na makadisi(watakatifu) wa kimasihia ,nayo haina asili yeyote ya ukweli.


1-mawali wa ALLAH ni watu ambao wao ni wapenzi wake ambao anawapenda na wanamupenda


2-na wao ni myongoni mwa kila mutu mzuri amemwamini ALLAH na aishi katika ma amurisho yake


3-na malipo yao ni maisha mema duniani,na ahkrera katika nyumba ya wenye kukirimiwa


4-na wao hawawezi kumufaa yeyote baada ya kisha kufa kwao ,wala katika uzima wao isipokuwa katika mambo ambayo inausu ubinaadamu ao mwanaadamu yeyote kuyafanya.


5-na kuhusu hayo mambo ,amesema Mwenyezi Mungu mtukufu:


)ni kweli hakika mawali wa ALLAH hawatakuwa na wogo juu yao wala hawatauzunika62ambao waliyoamini na walikuwa wachaMungu 63na wanabashiriwa katika maisha ya duniya na ahkera hutobadirishwa maneno ya ALLAH hayo ndiyo ufaulu uliyo mkubwa 64,surat yunus


6-basi uwe muislamu mtenda wema utakuwa mmoja myongoni mwao.


7amesema Mwenyezi Mungu mtukufu:


(na ambao umti ALLAH na mtume wao ni myongoni mwa wale ambao wameneemeshwa na MwenyeziMungu myongoni mwa Manabi na wasema kweli na mashahidi na watenda wema na urafiki uliyo kuwa mzuri kuwa pamoja na wale 69,surat nisaa


8-na myongoni mwa wa wali wa MwenyeziMungu ,mitume watukufu


9-na myongoni mwawo maswahaba wa manabii ambao waliyo amini manabii imani ya ukweli


10-na myongoni mwawo maswahaba wa mtume wetu Muhammad s.a.w. na wake zake wamama wa waaminiyo.


11-na wabora myongoni mwa maswahaba wake ni wale kumi ambao walibashiriwa pepo kwa majina yao.


12-wale maswahaba uchaguliwa wenye daraja wenye kujulikana kwa kuwa mbele na musimamo wao na kutowa nafsi zawo kwa ajili ya uislamu.


13-na ambaye anawatanguliya wale kumi ni mahkalifa waongozi nawo ni wane ambao walichaguliwa na waislamu mahakimu wa inchi ya kiislam baada ya mtume s.a.w. na wao kufatana na kuwapanga katika ubora na katika hkilafa:


1-abu bakri(kafariki mwaka 13baada ya mtume kuhama madina)


2-umari ibni hkatwab(kafariki mwaka 23)


3-usumani ibni afani(kafariki 35)


4-anli ibni abi twalib(kafariki 40)


Na waliyo baki ku wale kumi:zabiri ibni awam –saadi ibni abii wakaas-na twalha ibni ubaidi LAHI-na abdu rahmani ibni aufi-na abu ubaida aamir ibni jaraah-saidi ibni zaidi ,razi za Mwenyezi Mungu ziwe juu zawo na baki za maswahaba.


Somo la kumi na nane


Mwenendo wa kiislamu na adabu zake


1-muislamu ni msema kweli haseme womgo


2-muislamu ni mtekelezaji,hadanganye,mwamini hapoteze amana.


3-muislamu hasengenye ndugu yake muisilamu.


4-muislamu ni mwenye nguvu ,haiko muaribivu.


5-muislamu ni mwenye subira katika manafasi inaitaji ukweli,shuja katika kusema ukweli.


6-muislamu ni mtu ambaye anafanya mtu awe yeye mwenyewe mtumishi wa nafsi yake.hazulumu haki ya mwenziye,na hakubali mtu azulumu mwenziwe.


7-muislamu anapenda kushauriwa katika mambo yake, na anamutegemeya MwenyeziMungu.


8-muislamu anafanya vizuri kazi yake.


9-muislamu ni munyenyekevu mwenye uruma ,ana ana amurisha mazuri na anaifanya,na anakataza mabaya na haifanye.


10-muislamu anapikana jihadi kwa ajili ya kuinuwa neno la MwenywziMungu,na anataka dini ya MwenyeziMungu ndiyo iwe juu.


11-mwanamuke muislamu anava mbele ya ya wale ambao siyo wandugu zake mavazi kama vile sheriya ya uislamu inasema ,ufinika mwili wake wote isipokuwa uso na vitanga.


***


Somo la kumi na tisa


Matukuzo na maombi


1-utakapotaka kula na kunywa basi sema hivi:(bismilahi:kwa jina la MwenyeziMungu)


2-na ule chakula kwa mkono wako wa kuliya apana wa kushoto


3-na utakapo maliza kula ao kunywa basi sema hivi:(alhamdulilahi:namushukuru MwenyeziMungu)


4-utakapokutana na ndugu yako muislamu basi umupe mukono ,na utabasamu(hali kama mwenye kucheka),na useme:(assalamu anlaikum wa rahmatulhahi wa barakaatu:amani ya ALLAH na rehma yake iwe juu yenu).


5-na akikusalimiya ndugu yako muislamu basi umujibu ivi:(wa anlaikumusilamu wa rahmatu LAHI wa barakatu:na iwe juu yenu amani na rehma ya ALLAH)


6-itakapo kuja mchana ao magaribi basi sema:(tumehamuka na tumefika jioni katika maumbili ya uislamu ,na neno la ihklaswi,na dini ya Muhammad,na mila ya IBRAHIM,mupwekeshaji muislamu na siko miyongoni mwa washiriki)


7-na itakapo chomoka mwezi mupya basi sema:(mwezi bora na uongofu,Ewe Mwenyezi Mungu utuchomozeye kwa uzuri na imani na usalama na uislamu.


8-utakapo zuru mgonjwa basi sema:(kwa jina la ALLAH ,Ewe ALLAH ondowa matatizo,Bwana wa watu ,Ewe ALLAH uponye nawe ndiye mwenye kuponya , hakuna ponyo isipokuwa kwako,ponyo ambayo haifikiye tena ugonjo.


9-utakapo ingiya muskitini basi sema:(kwa jina la ALLAH,swala na salamu iwe juu ya mtume wa Mwenyezi Mungu,Ewe MwenyeziMungu unisamehe mazambi yangu,na unifunguliye milango ya rehma zako.


10-na utakapo toka muskitini useme mfano huwo isipokuwa useme:(na unifunguliye milango ya fazila zako.


11-utakapotaka kulala basi sema:Shukrani ni za ALLAH ambaye ametulisha na kutunyishwa na kutupa fasi ya kulala na niwangapi miyongoni mwa watu hana lakumutosheleza wala nafasi ya kulala.


12-na katika kila minasaba(manafasi ya mikusanyiko)miyongoni mwa mambo mazuri basi useme:


-SubhanaLHAH(utakasifu ni wake ALLAH)


-WALHAMDULILAHI(na shukrani ao sifa zote ni za MwenyeziMungu)


-wa laa ilaha ila lhau(nahakuna Mungu mwengine isipokuwa ALLAH peke yake


-wa LHAHU AKBAR(Mungu ni mukubwa)


-wala haula wala kuwata ila bilahi(hakuna ujanja wala nguvu isipokuwa ALLAH


13-NA HIVO HIVO zidisha sana kumuswaliya mtume Muhammad s,a.w.na hasa utakapo sikiya utaja jina lake ao utamkwa na useme:swala lhau anlahi wa salam(swala za ALLAH na salammu ziwe juu lake


Somo la ishirini(makumi mbili)


Muke muislamu


1-mwanamuke katika uislamu ni kama vile mwanaume


2-naye ni kiumbe mfano wa mwanaume bila tofauti kabisa.


3-na kwa hivo naye ni mwenye kulinganiwa kuingiya katika dini ya uislamu


4-naye ni mwenye kuamurishwa kumuamini Mwenyezi Mungu na kumuti na kumupenda.


5-NAYE ULAZIMISHWA amini ujumbe wa mtune Muhammad s.a.w.


6-na ulazimishwa kusali na kufunga na kutowa zaka na kuhiji na kumwabudu ALLAH.


7-naye ulazimishwa afate shariya za kiislamu katika nafsi yake kama vile mwanaume


8-na adabishe watoto wake katika uislamu ubora wake na fazila za uislamu,na awaifazishe uislamu.


NA UACHANA NA MWANAUME KATIKA HII MAMBO ,MYONGONI MWAO:


9-avae nguo inaziwiya mwili wake wote isipokuwa uso na vitanga


10-na atakapo ona damu ya mwezi basi Asisali ,wala asifunge,wala asisome kur an,wala asiingiye muskitini


11-na itakapomalizika damu ya ezi ao nifasi(damu ya kuza)aoge kisha alipize kufunga na asilipize sala.


12-na siyo lazima kusali sala za ijumaa


13-wala asiolewe na munaswara ao muyahudiao makafiri isipokuwa mpaka asilimu


Manususu ya kur an kwa ajili ya kuifazi


________________________


Nususu za kuifazi pamoja nakujuwa matamuko vizuri


Angalisho: nilazima ujifunze kur an kwa maerufi ya kiarabu


Ya kwanza masura za kur an tukufu


Suratul fatha


(alhamdulilahi rabil anlamiin,arahmaani rahiim,maaliki yaumi diin, iyaaka naabudu wa iyaaka nastaiin, ihidina swiraatwal mustakhiim,swiraathwa lazhiina an anmta anlaihim,hraihril mardhuubi anlahim wala dhwaaliin.)


Suratul answir


(wal answir inal insaana lafii hkusir ila lazhi na aamanu wa anmilu swaalihaat watawaswaubil hak watawaaswaubi swabir.


Suratul maaun


Ara aita lazhii yukazhibu bidiin fazhalikalazhi yaduun liyatiim,wala yahudhu anla twaanmul miskiin fawailul lil muswaliin,alazhiinahum answalaatihim saahuun, alazhinahum yuraauuun, wa yamnaunal maauun.


Suratul kauthar


Inaa antwainaa kalkauhthar ,faswalili rabika wanhar ina shaanika hhuwal abtar.


Suratul ihklaas


Kul huwa lhaahu ahad alhaahu swamad lam yalid walam yuulad walam yakulahhu kufuwan ahad.


Suratul alfalak


Kul aunzubirabil falak ,minsharima hkalak wa minsharihraasikhin izha wakhab,waminshari nafaa saatifil unkad ,wa minshari haasidin izaha hasade.


Suratul annas


Kul aunzubirabinaas,malikinaas,ilaahi naas,minsharil wasiwaasil hkanaas,alazhi yuwasiwisufii suduurinaas,minaljinatiwanaas


Na jambo la pili –atashahud(shahada)


1-atahiyatu lilahi ,wa swalawaatu wa twayibaatu(maamukizi nzuri ni ya Mwenyezi Mungu,na sala na mambo mazuri)


2-asalamu anlaika ayuha nabiyu wa rahmatulahi wa barakatu(salamu iwe juu yako ewe nabii na rehma za Mwenyezi Mungu na baraka zake.


3-(asalamu anlaina wa anla ibadilahi swalihiina)salamu iwe juu yetu na juu ya waja wa MWENYEZI Mungu watendaji wema.


4-(ASHAHADU ALLAA ILAHA ILA LHAHU)na shahidiliya kuwa hakuna Mungu isipokuwa ALLAH


5-WA ashahadu ana muhamada anbeduhu wa rasuluhu(na shahidiliya hakika Muhamad ni muja wake na mtume wake


Na jambo la tatu-sala za ibrahimiya


1-alhahuma swali anla Muhamad(ewe Mwenyezi MUNGU umusaliye mtume)


2-wa anla aali Muhamad(na piya watu wa Muhamad)


3-kama swalaita anla ibrahiim(kama vile umemusaliya ibrahim)


4-wa anla aali ibrahiim(piya na ju ya watu wa ibrahiim


5- wa baarik anla Muhamad(na baraka yako iwe juu ya Muhamad)


6-wa anla aali Muhamad (na juu ya watu wa Muhamad)


7-kama barakta anla ibrahiim(kama vile uliyo mubariki ibrahiim)


8-wa anla aali ibrahii(na juu ya watu wa ibrahiim)


9-fil anlamiina (katika viumbe vyote ulimwenguni)


10-inaka hamiidun majiid(hakika wewe ndiyo mwenye kusifiwa mukamilifu).


Vipi utaingiya katika uislamu?


(kwa waislamu wapiya)


-ya kwanza:uislamu,kwa nini,na kwa nani,na wakati gani?


Uislamu…….kwa nini?


1-kwa kuwa uislamu ni dini ya manabii ambayo alirizika Mwenyezi Mungu kwa watu wote.


2-kwa ajili uislamu ni dini ya manabii wote,kutoka Adam mpaka mtume Muhammad A.S.W


3-kwa kuwa uislamu ndiyo dini ya mwisho myongoni mwa madini ya mbinguni.


4-na mtume wa uislamu ndiyo mtume wa mwisho


5-na kitabu chake ni kur an kitabu cha mwisho myongoni mwa vitabu vilishuka kutoka mbinguni.


6-(je dini ingine isiyo kuwa ya Mwenyezi Mungu ndiyo wana fata ,na yeye ndiyo vinajisalimisha vyote katika mbinguni na arzini hali kupenda ao kutokupenda na kwake ndiyo marejeyo)83-surat al imuran.


(na mtu ambae anafata dini siyo uislamu hakubaliwe naye ahkera ni miyongoni mwa wenye hasara)85-al imurani


UISILAMU NI WA NANI?


7- kwa kila ambae upewa neema ya uzima,na neema ya akili.


8-kwa kila mwenye kuwa na macho mawi;li uona neema ya Mwenyezi Mungu


9-kwa kila mwenye na masikiyo mawili usikiya maneno ya Mwenyezi Mungu.


10-kwa kila mwenye na akili ufahamu kwayo maneno ya Mwenyezi Mungu.


11-kwakila mwenye kuwa na moyo wa kujulisha mapenzi na kushukuru na kukubali.


12-kwako na kwangu na kwa mutu yeyote anataka Mwenyezi Mungu amufunguliye moyo wake kwa kuamini.


UISLAMU ………WAKATI GANI?


13-ivi sasa…leo kabla ya kesho….


14-uwe mutiifu itakusukuma katika imani


15-hakika hiyo kwako ni baati katika umri wako mzima….


16-baati ya zahabu,hakika haipatikane katika moyo wako mara ingine……


17-uwito mzuri saana wa MwenyeziMungu ……hakika yeye anakuita:


18-(na Mungu wenu ni Mungu moja na ana kwake ndiyo wamejidalimisha,na na uwabashiriye wanyenyekevu)surat haji;34


Jambo la pili-safari iliyo kubwa


1-na utakapo kinaika kuwa uislamu ndiyo dini ya ukweli,


2-basi tafuta nafasi upatikana uislamu yenye kujulikana,ima centre ya uislamu ao muskiti ao organisation ya uislamu.


3-ulize wasimamizi huko,na uwambiye kuwa unapenda kuingiya katika uislamu.


4-wenda atakuuliza musimamizi baazi ya maulizo ,ijulikane nini inakukinaisha kuingiya katika uislamu.


5-utakapo soma hiki kitabu mbele ya wewe kwenda wenda itakuraisishiya kujibu kutokana na maulizo.


6-katika siku ambao ulinuwiya kuingiya katika uislamu ,na mbele ya kwenda kwenye ili rendez-vous (mukutano)mukubwa ,uoge kwa niya ya kuingiya katika uislamu .na ni bora kwako uondowe nywele na uvae nguo nzuri na ujitiye marashi.


Jambo la tatu:maneno gani utasema wakati utapenda kusilimu?


1-inatosheleza utakapoingiya katika uislamu useme haya maneno ijayo:


2-na shahidiliya hakika Mwenyezi Mungu ni moja


3-na shahidiliya hakika Muhammad ni mtume wa Mwenyezi Mungu


4-na shahidiliya hakika yesu ni muja wa Mwenyezi Mungu na mtume wake.


5-niko mbali na dini yeyote ile kinyume na dini ya uislamu.


6-na lakini ni vizuri useme:


7-nimemuamini ALLAH ,na Wamalaika wake ,na vitabu vyake ,na mitume wake,na siku ya mwisho ,na kadara nzuri zake ao shari zake


8-namuahidi Mwenyezi Mungu kuwa sita mushirikisha kwa kitu chochote.


9-na nitasimamisha sala.


10-na nitayowa zaka


11-na sita iba


12-na sita zini


13-wala sita uwa nafsi ambao ni haramu.


14-na sita muasi Mwenyezi Mungu.


15-namushukuru Mwenyezi Mungu ambaye ameniongoza kwa kuamini.


16-kwa ufupi:na responsable amuombeye yule mutu ambaye amesilimu kumikono yake, akisemakwa mfano:Mwenywzi Mungu anisame na akusame,na anikubaliye miye na wewe ,EWE Mwenyezi Mungu umujaaliye myongoni mwa wale ambao uliyo waneemesha myongoni mwa manabii,na wasemaji ukweli,na mashahidi,na watenda wema,na na ni uzuri kuwa rafiki wao.


Ya ine-vipi utatengeneza uislamu wako


1-utakapo kubali kuwa muislamu kwa kukinai basi unafungua sahifa nyeupe katika kurasa ya vitendo vyako(unakuwa hauna zambi)


2-ama ambayo yaliyopita kutokana na vitendo vyako vibaya hakika Mwenyezi Mungu anakusamehe kwa kuingiya kwako katika uislamu.


3-hakika utakapo silimu unakuwa kama vile umezaliwa katika uislamu upya.


4-na ni juu yako ujuwe kuishi katika uislamu na uguwe ndani ya shariya zake,vipi?


Ya kwanza:uzidishe ujuzi kufahamu uislamu:


5-ujuwe kusoma kur an


6-na usome hata kidogo tafsiri ya kur an


7-na usome ma hadisi ya mtume ambayo ilipokelewa kutoka kwake.


8-na usome maisha ya mtume s.a.w.


9-na usome maisha ya watu wakubwa waliyojulikana kwa kutumikiya uislamu na


Na ya wale waliyo tanguliya watenda wema katika zama za mtume na baada yake ambao waliyo sambaza dini ya uislamu ,na wakafikisha ulimwenguni.


10-na kujilazimisha kusali sala za jumaa,upate kusikiliza mawaiza siku ya jumaa,na upate kusali pamoja na waislamu.


11-na uuzuriye sala za idi ,na usikilize mawaiza.


12-na usali katika miskiti sala zote tano kama hautakuwa na matatizo ambayo itakuwa sababu ya kukuziwiya.


13-na uzuriye madurusa(mazungumuzo)za dini.


14-na ujitahidi kuwa na usiliyano na yeyote miyongoni mwa wanachuoni ao walimu wa dini ,na ujijulishe kwao,na uwaulize yale ambayo haujuwe katika mambo ya dini,na utafurai katika yale unayo uliza wata kubainishiya wazi yale unayo uliza.


15-na ujitahidi uwe na rafiki ambaye atakuongoza myongoni mwa waislamu ambao wanafahamu dini,watakubainishiya kwa wazi yale ambao hauweze kufahamu katika mambo za dini.


16-soma vile unavyo weza kutokana na vitabu misingi vya uislamu(kur an ao suna)na myongoni mwa vitabu vyenye kutegemewa katika dini ya uislamu ikuzidishie kufahamu .


17-na utasoma sana mahukmu ya uislamu na mipango yake kutokana na mipango ya ibada.na mahukmu ya kuishi katika familiya ,na vie social,na adabu,naki economie,na mambo yote kwa jumla.


18-na utajuwa hali ya uislamu na manufao yake katika viumbe,na ulimwenguni,na kwa mutu,na kimaisha.


19-na siyo uislamu dini basi inaishiya pale,na hivo hivo ni uongofu katika maisha ya ki social,na desturi ya inchi ,na kiyongozi katika maisha.


NA YA PILI:kuzidisha matendo mema:


20-ujitahidi kufanya matendo mema juu ya hii mambo tano tuliyo yataja kabla,mfano:


21-Sali marakaa zaidi ya sala tano.


22-ao usaidiye mafakiri na wenye kuitaji kwa pesa zaidi ya yale wanapata kutokana na zaka,ao uwasaidiye wajuwe kujisaidiya mambo yaliyo lazima sana ambao hawaweza kuyafanya.


23-ao ufunge masiku mengine(suna)isiyokuwa ramazani.


24ao ujishirikishe katika ma organisation yenye kusaidiya maisha ya ki social kwa ajili ya kutengeneza maisha ya ki social ya waislamu.


25-ao ulinganiye rafiki yako katika dini ya uislamu.


Ya tano-vipi utahifazi uislamu wako?


1-utakapo ingiya katika uislamubasi hakika unakuwa umepata hkeri nyingi.


2-hakika unakuwa mtu ambaye amepata utajiri usiyo malizika.


3-hakika mtu ambaye anapata utajiri atapata maadui wengi,wanapenda kuiba mali yake.


4-nikusema ndiyo ivo wewe umepata utajiri ndiyo uislamu.


5-wenda baazi ya watu watatafuta wakuzuwiye kutokana na dini yako mupya.


6-na wale ndiyo maadui wa Mwenyezi Mungu.


7-na maadui wa Mwenyezi Mungu wao ni mashetani myongoni mwa majini na watu.


8-na ama mashetani wa vinaadamu ,wanatafuta kukuchekeleya.


9-ao wanatafuta kukumimiliya ma pesa kwa ajili urudiye katika upotovu baada ya kisha kuokoka.


10-na watakuambiya :katika dini ya uislamu hivi hivi,na wanazungumuza mambo yenye haifahamike wanakutupiya.


11-basi ujuwe hakika Mwnyezi Mungu amesema katika kur an:


(na hawakujiye na mfano isipokuwa tumekuleteya uliyo kweli na uliyo mzuri zaidi hali ya ubainifu(33)surat furkaan.


12-basi uliza wanachuoni wa kiislamu yale ambao ALLAH ALIYESHUSHA katika kur an ambayo inajibu hiyo mambo usiyo


Yafahamu


.13-na ama mashetani myongoni mwa majini basi hakika wao wanakufanyia wasiwasi katika moyo wako wakikwambiya:je unaacha dini yako na dini ya mababu zako na matate zako ,na unafata dini ingine?


14-je unafata dini ambayo itakupatiya tabu:kusali,kufunga,na kutowa mali?na itakukataza kunywa pombe na vinginevyo………….?


15-basi ujuwe hakika kila mutu anajikuta katika dini ya wazazi wake ,na anaishi kwa kutukuza dini yake.


16-wenye kuwa katika ukweli na wenye kuwa katika upotevu wote ni namuna moja.


17-lakini jambo ligumu ni:je ?hiyo madini yote ni ya kweli?na ni ya wapi siyo ya kweli?


18-hakika dini ya uislamu ndiyo dini iko mbali na kila malegende na shirki na idolatrie.


19-hakika ndiyo dini ya kumupwekesha Mwenyezi Mungu.


20-basi soma utakapo isi wasiwasi ya mashetani ya kijini:


21-(wa kul rabii aunzubika min hamazaati shayaatwiini97wa aunzubika rabii an yahduruuni98)surat almuuminiina.


Maana yake:na useme hee MOLA wangu najikinga kwako kutokana na wasiwasi ya mashetani97na najikinga kwako MOLA wangu wanikurubiye98)


22-na usome tena suratu alfalak na suratu annas .


Ya sita-vipi utalinganiya wengine waingiye katika dini ya uislamu?


1-amesema nabi Muhammad s.a.w:na akuongozeye Mwenyezi Mungu mutu moja ni bora kwako kuliko ngamiya mwekunda


2-na amesema tena:mutu ambaye analinganiya watu kunako uongofu anamalipo mfano wa malipo ya yule yoyote ambaye atae mufaya yule yeye aliyomuongoza wala haipunguzwe chochote katika malipo yao.


3-basi ujitoleye kulinganiya uislamu yeyote unayemujuwa asiyo kuwa muislamu.


4-anza kwanza watu wako wa karibu na wao:wazazi wako –muke wako –mtoto wako –binti wako –kaka yako-dada yako-ndugu karibu-marafiki wako.


5-amesema mtume Muhammad s.a.w.(na awaogopeshe jamaa yako waukaribu)214-surat ashuanraa.


6-uwabainishiye dini ya ukweli,na uwabapendekeshe kwayo.


7-uwabashiriye kwa yale ambayo Mwenyezi Mungu atawapatishiya neema katika duniya na ahkera,ikiwa watafata uislamu.


8-uwaogopeshe hakika Mwenyezi Mungu anawauzikiya ikiwa hawakuamini kur an ambaye Mwenyezi Mungu aliyeshusha uongofu kwa viumbe.


9-ao kama hawakumuamini Muhammad s.a.w. ambae Mwenyezi Mungu alimutuma rehma katika ulimwengu.


10-uwalinganiye kwa mapenzi na ihklaswi.


11-na wewe mwenyewe uwe mfano kwa tabiya iliyo kuwa bora.


12-upupiye kufanya hkeri na kunufaisha watu wote.


13-utakapo fanya ivo utakuwa mulinganiyaji katika uislamu kwa vitendo na maneno.


14-na hivo watapupiya marafiki zako kukubali yale ambayo unawalinganiya kwayo kama akapenda Mwenyezi Mungu kuwaongoza.


15-hivo ndiyo watajuwa unyo yasema ni ukweli.


16-watakubali uislamu ,na wataupenda,na watakupenda wewe vile vile.


17-na nilazima uwe imara ki hikma na ujuzi wa kulinganiya na kimasomo,useme kila na fasi maneno inayo nasibiyana na nafasi ile.


18-na imesemekana katika mifano ya kiarabu:(katika kila nafasi inamaneno yake inayo nasibiyana)


19-amesema Mwenyezi Mungu mtukufu:


(ulinganiye katika njiya ya MOLA wako kwa hekima na mawaiza mazuri na awajadiliye kwa mambo yaliyokuwa mazuri hakika MOLA wako yeye anajuwa zaidi ni nani amepoteya katika njiya yake na yeye anajuwa zaidi wenye kuongoka)125-surat –anahl


20-na itakapokuwa haujuwi luga ya kiarabu basi ni vizuri kwako ujifunze,kwa ajili ufahamu dini ya uislamu fahamu iliyokuwa bila makosa(sahihi)kutoka utasoma marejeleo ya asili.


21-na wakati huo utakuwa unasema katika elimu ya uislamu kwa ujuzi ndani ya maneno ya Mwenyezi Mungu mtukufu ,na maneno ya mtume wake Muhammad s.a.w. na maneno ya wanachuoni wa kiislamu.


22-towa photocopie ya hii maelezo kwa mtu unaye mupenda kumulinganiya katika dini ya uislamu kwa ajili ikusaidiye katika ubainifu.


Vitabu kwa ajili ya kuzidisha kusoma


Katika kur an:


1-tafsiri alwaadwih cha docteur mahamad mahmud hijazi


2-muhktaswar tafsir ibni kasiir cha muhamad swabini


3-zabdat tafsiri min fathi alkadiir lishaukani cha muhamad sulaimani alashkar


Katika suna:


1-al arbauna anawawiya cha imamu anawawi


2-muhktaswar swahihi albuhkari cha azubaidi


3-aluu luu wal marjaani fiima itafaka anlaihi shaihkani cha muhamad fuaadi abdu haaruuna


Katika uislamu:


1-anlim nafsaka al islaam cha docteur nabil abdu salaam haruun


2-shahkswiya almuslim cha docteur muhamad anli alhashimiyi


3-minhaaji muslimu cha abu bakri aljazaairiyi


4-nizwaam alhayaat fil islam cha abul anla almauridiyi


5-khiswasu anabiyiina ,siiratu hkaatama al ambiyaa cha abu alhasani anadawi


6-islamuna cha sayid saabik



Machapisho ya hivi karibuni

Masuala kumi muhimu n ...

Masuala kumi muhimu na mafupi kuhusu mwezi wa Muharram

UJUMBE KWA ALIYEICHOM ...

UJUMBE KWA ALIYEICHOMA KURANI

KWANINI UISLAMU? UZU ...

KWANINI UISLAMU? UZURI NA FAIDA ZA UISLAMU